Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Ucijali hunie Paloma hana tatizo kwako mradi heshima.. Sema kazi ile shida yako Ruttashobolwa.. Hakawii kuja kunivizia na bastola yake ya mti lol..
yap, twende wote basi. au?
mi sina uhakika sana ila wishes zangu niende nitakupa jibu kamil badae...
my brother hii tabia umeanzapo lini.......nimekodoa macho hapo kwenye njano hapoo
dada yangu Heaven on Earth wifiyo Paloma kaniruhusu maana anataka kujaribu limbwata jipya kalipata toka mpitimbi huko lol..
Ha ha ha nimeuona Mkuu Ruttashobolwa.. Happy New Year kamanda..
Madame B yupo wap?
Nimerusha mchango wangu kwa mpesa
I dont want to miss this event. Ngoja niangalie ratiba zangu. LOL
nitafurahi nikikuona siku hiyo jipange sawasawa
Arushaone hujambo? Mepewa ruhusa ya kukusalimia na dada wangu Lady doctor lolNaomba nije tafadhali eeh! You know what? Mimi ni mgeni na sipajui Darisalama, naomba unioneshe jiji na mitaa yake tafwadhali.
Arushaone hujambo? Mepewa ruhusa ya kukusalimia na dada wangu Lady doctor lol
Arushaone hujambo? Mepewa ruhusa ya kukusalimia na dada wangu Lady doctor lol
ukimaliza kumsalimu kamcheshie maji ya kuoga then umpikie na chai.... Nakuruhusu
ukimaliza kumsalimu kamcheshie maji ya kuoga then umpikie na chai.... Nakuruhusu