JF Get Together Party kufanyika Kebby’s Hotel Jumamosi 25 Januari 2014, michango imeanza kupokelewa…

JF Get Together Party kufanyika Kebby’s Hotel Jumamosi 25 Januari 2014, michango imeanza kupokelewa…

Samahani waandazi, hiyo mahali patakuwa na viti vya kukalia?
 
unakaribishwa na utaoneshwa jiji lote la bongo uelewa wako tu wa kukariri maeneo hayo hata nikikupeleka kwa tumbo tandale usishangae ndo maisha ya pale yalivyo usifikiri huku ni Geneva

Naomba nije tafadhali eeh! You know what? Mimi ni mgeni na sipajui Darisalama, naomba unioneshe jiji na mitaa yake tafwadhali.
 
Paloma yuko bed rest anasubiri kunitotolea mapacha mie.. Karibia ntaitwa baba wawili..

..........mhhh kama uchuro vile...............! bado sijatotoa Ruttashobolwa ndo kwanza mimba ya mapacha ina wiki 4 unusu! na nisharudi jamvini.............
 
Last edited by a moderator:
..........mhhh kama uchuro vile...............! bado sijatotoa Ruttashobolwa ndo kwanza mimba ya mapacha ina wiki 4 unusu! na nisharudi jamvini.............

Beib jaman Dokta alikuambia bedrest iendelee.. utaniulia wanangu kwa ubishi wa kutaka kuzurura humu lol..
 
Last edited by a moderator:
Beib jaman Dokta alikuambia bedrest iendelee.. utaniulia wanangu kwa ubishi wa kutaka kuzurura humu lol..


babe sosoliso.........vidole havirest, so long as nvitumia kula, kukutomasa etc basi vitaendelea kubofya vitufe.........
au mwambie huyo dikta avirestishe navyo! :busu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom