Hata sisi tusio n'a Majina makubwa tunaruhusiwa?
Aiseeeee kwanini?
mwisho ni lini kutuma nchango
kwani bidada hao huwaga ni wanywaji wa juice pekee.
Ndio ukiongezeka na wewe.bad daughter hujui dingi yako anakunywa nini?
Naomba niwachangie japo sitakuwepo lara 1