Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Kwa nini kila mwaka mnafanyia Dar kwanini msije morogoro....mijitu ya Dar mnajidai sana nilikuwa na mpango wa kuhudhuria ila mumeboa........
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini kila mwaka mnafanyia Dar kwanini msije morogoro....mijitu ya Dar mnajidai sana nilikuwa na mpango wa kuhudhuria ila mumeboa........
Kwa nini kila mwaka mnafanyia Dar kwanini msije morogoro....mijitu ya Dar mnajidai sana nilikuwa na mpango wa kuhudhuria ila mumeboa........
Mweee....ngoja nianze zoezi....
Sorry kwa hiyo hapo kwenye bei za vyumba it means kuna posiibility
party ikimalizika watu tukaenda kufanya yetu LOL
Ennie, kwani huyu wa Heaven on Earth anapitaga huku?:A S-confused1:[/B]
Akiona hapa na ruhusa umenyimwa!
Kaka yake huwa anapita umbuje!
dada Ennie haiwezekani kabisa tukukose.....Kaka yake huwa anapita umbuje!
Hiyo party nimechelewa kuona bandiko,sijui kibubu kitajaa on time?
dada Ennie haiwezekani kabisa tukukose.....
kibubu kisipojaa on time tuwasiliane
..ya Nini hayo mazoezi ?
Sorry kwa hiyo hapo kwenye bei za vyumba it means kuna posiibility
party ikimalizika watu tukaenda kufanya yetu LOL
Kwa nini kila mwaka mnafanyia Dar kwanini msije morogoro.... mijitu ya Dar mnajidai sana nilikuwa na mpango wa kuhudhuria ila mumeboa........
Ninyi minaniliu ya dar ina maana hamhoni hii comment???
Asprin, Mtambuzi, Jiwe Linaloishi, lara 1, watu8, Heaven on Earth, jouneGwalu, Kipaji Halisi, cacico, Vin Diesel na wooote woteee.....
Majitu mwitu msitu....nimewakumbuka LWP...Live With Purpose
Majitu mwitu msitu....nimewakumbuka LWP...Live With Purpose
Kuna haja ya kuongeza pumzi mzee...au umesahau yale mambo yako
Teh teh teh... Chekaje mie!!!!