kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Nilikua sijaiona hii mkuu Alisina..Safi sana...
Shukran kwa Mleta Uzi na Muulizwa/Mtahiniwa.
1.Maisha yanamaana gani kwako...?
2. What important truth do very few people agree with you on. .?
3.When do you think the World Will End...?
4.If God is good why is there so much evil in the World...?
5.How Replaceable are you...? Which is easier to love or be loved..?
5.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo serious mkuubrother unajua mimi nakukubali sana
naomba msaada mambo ya kuzingatia katika barua ya kazi na anuani inakaha wapi au hata kama unao mfano wake please brother nitumie
KaushaIli iweje?? Hatutaki kukuuliza
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Usitupangie kukuuliza maswali wakati hatutakiii
Unaongea hivyo kama nani?Usitupangie kukuuliza maswali wakati hatutakiii
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kama Da'Vinci JF Expert MemberUnaonga hivyo kama nani?
Okay kakojoe ulaleKama Da'Vinci JF Expert Member
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Uyoo dogo hua tunapigana mwikala tuu..ha ha brother da vi kumbe nawe umo eeeh
● maisha kwnagu yana maana ya kuishi katika misingi ya ubinaadamu yaani upendo, huruma na msamaha.Safi sana...
Shukran kwa Mleta Uzi na Muulizwa/Mtahiniwa.
1.Maisha yanamaana gani kwako...?
2. What important truth do very few people agree with you on. .?
3.When do you think the World Will End...?
4.If God is good why is there so much evil in the World...?
5.How Replaceable are you...? Which is easier to love or be loved..?
5.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema uongo kwa kua ndio mtindo wa maisha walio jichagulia..Unafikiri kwanini watu huwa wanasema uongo ?
Shukrani kwa Maelezo kamanda Wangu.● maisha kwnagu yana maana ya kuishi katika misingi ya ubinaadamu yaani upendo, huruma na msamaha.
●Kwamba mm ni intelligent. Naweza sema ni kweli
●Kwakweli siwez hisi dunia itafika mwisho lini maana hata Mungu kasema hakuna ajuae siku wala saa ambapo atakaja.. so ni ngumu kukisia ila kwa mtazamo wa haraka naweza sema dunia inafika mwisho pale unapoondoka duniani
●Mkuu Mungu kaweka free will kila mtu achague jinsi anavyotaka kuishi.. Aishi kwa kufanya mema au mabaya. So kila mtu anachagua kile alichopenda.. wengi wanajichagulia mabaya
●Mkuu mm napenda kwa urahisi sana and I am too honest in rtshp but hua sipendwi
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Tafadhali mkuu maswali ya mathematics niko mweupe.. sijui kabisa kuhusu math..sorryMkuu Davinci Kwanini Integral ya Route of TanX ina exist bila ku intriduce limits, ila kwanini huwezi calculate Integral ya Route of SinX bila Kuintroduce Limits?