Ahsante sana mkuu kwa kunikubali..it means a lot to me. Nishatoka huko mkuu,Una swali.?Daaa mkuu upo vizuri kujibu maswali na enjoy a lot kuwa fans wako itabidi utoke kweny haya majukwa ya mmu sijui na celebrities kwa kina Spartacus the mnyama mkali na inno ni muda Sasa umefika wa kurudi home
Intelligence huko ndio na mpata da Vinci ambae kila nikimsoma bandiko lako nachukua note book Ku note down some hints
Ahsante sana mkuu kwa kunikubali..it means a lot to me. Nishatoka huko mkuu,Una swali.?Daaa mkuu upo vizuri kujibu maswali na enjoy a lot kuwa fans wako itabidi utoke kweny haya majukwa ya mmu sijui na celebrities kwa kina Spartacus the mnyama mkali na inno ni muda Sasa umefika wa kurudi home
Intelligence huko ndio na mpata da Vinci ambae kila nikimsoma bandiko lako nachukua note book Ku note down some hints
Nimefuatilia post zako sana na comments zako mda mrefu sana na nilichokuja kugundua ni nkivuta taswira yako I see me, yaan we share same experience(personal).kwaivyo kila swali ukiona nmekuulza personal ujue nimejiulza pia mimi even umri pia tupo same.
Time Heist and Time Apocalypse: Jinsi muda unavyoathiri Maisha ya ulimwengu na vilivyomo - JamiiForumsPia mkuu nilikuwa naomba kitu kimoja mimi kama follower na fan wako.
Nilishituka sana nilivoona sasa ivi na wewe unabisha na kufungua nyuzi kabisa rahisi rahisi za kina Ali kiba na Diamond, mkuu yale mambo nilikuwa naomba uwaachie kina robidinyo na wenzake yaan huendan nayo kabsa na wala haya kufit, iliniskitishaa
Huko MMU waachie kina zero IQ , watu kama nyie ndo mmefanya tukafungua account JF , dont dissapoint us anymore please
WE NEED OUR DA'VINCI BACK