JF Hard Talk "Da'Vinc"

JF Hard Talk "Da'Vinc"

Mkuu mm ni memba kule.. na niliungwa bila kupenda. Sijui shida nn nikiomba kuungwa jukwaa la dini naungwa hadi kule.. nikitolewa huko hadi jukwaa la dini natolewa.
Mkuu mm sijui kama nina iq kubwa labda wanaonizunguka. Btw napenda vitu vinavyofikirisha ubongo zaid sio kukariri ndio maana masomo ya sekondari nilifeli. Hua sipend kukaririshwa syllabus

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Duuh kumbe ukiomba kuungwa unaungwa kote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki niongee sana ila hizi ndio nilizozipakua na ninazozitumia sana..
960008d7a83baa2b78230884befa15e1.jpg


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kumbe mkuu unatumia TECNO!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mm ni memba kule.. na niliungwa bila kupenda. Sijui shida nn nikiomba kuungwa jukwaa la dini naungwa hadi kule.. nikitolewa huko hadi jukwaa la dini natolewa.
Mkuu mm sijui kama nina iq kubwa labda wanaonizunguka. Btw napenda vitu vinavyofikirisha ubongo zaid sio kukariri ndio maana masomo ya sekondari nilifeli. Hua sipend kukaririshwa syllabus

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ulipata division ngapi?
 
Vp umeoa?

"ᵀʳʸ ⁿᵒᵗ ᵗᵒ ᵇᵉᶜᵒᵐᵉ ᵃ ᵐᵃⁿ ᵒᶠ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ᵇᵘᵗ ʳᵃᵗʰᵉʳ ᵗʳʸ ᵗᵒ ᵇᵉᶜᵒᵐᵉ ᵃ ᵐᵃⁿ ᵒᶠ ᵛᵃˡᵘᵉ✓"
 
Back
Top Bottom