Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Live long my Lovely woman in JF. Is me me
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Live long my Lovely woman in JF. Is me me
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
●BurundiUlishafika nchi ipi ya East Africa na je ina kipi ambacho sisi Tanzania inabidi tujifunze kutoka huko?
Proverb 3:5-6
Kutukana hapana. Sijakulea hivyo hata kama unatumia id fakeInanisaidia kujieleza bila shida ya kumwogopa mtu yoyote imagine namtukana mtu wa miaka 50 huku hanijui simjui.. so nakua na wigo wa kujieleza zaidi bila wasiwasi
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kitu nachohisi sitakuja kupata ni Huruma na Upendo kwa Binaadamu wotee..Kitu gani ulihitaji maishani mwako ila unahisi hautokuja kukipata kwa hali uliyo nayo.?
Sent using Jamii Forums mobile app
●Natamani nitengeneze platform au NGOs ambayo itawasaidia vijana kuwa na ari ya kujifunza na kujisomea ili kupata maarifaNini matarajiyo yako ya baadaye kielimu na hata kuweka historia kwenye dunia hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana..Je Dan Brown ndiye favourite author wako? Kama siye ni yupi?
Proverb 3:5-6
Unadhani mwanadamu anaweza pata utajiri kwa kuzingatia tu mafunzo yaliyomo kwa waandishi hao?Hapana..
Robet Kiyosaki na Rick Warren
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Ni mdau japo naitumia tu kusoma mikasa ya watu na mahusiano yao.. Nothing moreNmekuelewa mkuu,kwa hyo unataka kusema ww pia sio mdau wa mmu,baada ya kugundua kule kuna maisha ya kuigiza?
Mkuu Life is full of Fake people...Hapo hapo kwenye MMU kuna mambo gani ambayo hayaja kawa sawa sijui amelenga jinsia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana! Lakini yatambusti kiasi kikubwa ili kupata utajiri.. Lakini itajiri wa milele anatoa muumba ukimwomba na kufuata mambo yaliyoandikwa humoUnadhani mwanadamu anaweza pata utajiri kwa kuzingatia tu mafunzo yaliyomo kwa waandishi hao?
Proverb 3:5-6
Inawezekana kupata utajiri kwa njia hizo za 'Muumba'?Hapana! Lakini yatambusti kiasi kikubwa ili kupata utajiri.. Lakini itajiri wa milele anatoa muumba ukimwomba na kufuata mambo yaliyoandikwa humo
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Kanisa kwangu lina mchango wa kunikuza kiroho, kunikutanisha na watu wapya..Kunirejeshea furaha napokua sina amani.kanisa lina mchango gani kwenye maisha yako ya kila siku?
Mkuu..Inawezekana kupata utajiri kwa njia hizo za 'Muumba'?
Proverb 3:5-6
Oohh hapo kwenye tabasamu nakutakia kila la heri●Natamani nitengeneze platform au NGOs ambayo itawasaidia vijana kuwa na ari ya kujifunza na kujisomea ili kupata maarifa
●Natamani niweke tabasamu kwa watu duniani kwa kuwasaidia kukabiliana na shida zao za kimaisha hasa ajira. Na nitabezi zaidi kwa wasichana maana ndio wenye changamotoo zaidi.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
ahsante