JF Hard Talk "Da'Vinc"

JF Hard Talk "Da'Vinc"

Kijana ongera Sana una uwezo mkubwa.
Je uwezo na maarifa ulio nayo yanakusaidiaje kwenye Maisha yako ya sasa? Vitabu unavyo soma na vitu unavyo fanya kila siku vya kukufanya ufikilie vina impact gani kwenye Maisha yako ya sasa?
-Nime kuuliza ivo kwa sababu nami ni kijana wa lika lako miaka yangu si zaid ya 21 kuna wakati nilipenda sana mambo ya computer especially coding nalifanya sana tena kwa uwezo mkubwa tu(c++ lugha yangu pendwa) baadae niliviweka pembeni hayo mambo kwa kuwa sikuona faida yake kwenye maisha yangu ya baadae japo nilifanya kwa uwezo mkubwa..
Je wewe vitu vinavyo chukua sehem kubwa ya muda wako kwa sasa ndio future yako hapo baadae?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahsante sna mkuu wangu..
Maarifa niliyonayo yamenisaidia kujitambua na kutambua mazingira na watu wanaonizunguka..pia maarifa haya yamenikutanisha na watu wengi ambao wanamchango mkubwa kwenye maisha yangu
●Sina Shughuli maalumu nayofanya..Napenda kujisomea na vitabu nilivyosoma vina impact sana kwenye maisha yangu coz vimeniongezea maarifa meengi pia vimenikutanisha na waandishi humu nchini.
●Actually napenda coding mkuu ndio kitu ninacho concentrate nacho.. pole labda haikua chaguo lako but for me Computers ni ndoto yangu ya muda mrefu
●Yaaa muda mwingi nautumia Kusoma mwingine natumia kupitia funny memes fb ili kujiburudisha na humu JF.
Computer its ma future

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Unafikiri kwanini watu huwa wanasema uongo ?
Watu hua wanasema uongo kwa sababu hizi
  • Tabia: yaani unakuta mtu by nature anapenda kuongea uongo kwa lolote lile, yeye kwake ukweli no
  • Maisha: Kutoka na system ya maisha ilivyo ukiwa mkweli sana hutafanikiwa maisha yanalazimisha mtu asme uongo hata kama hapendii
 
1126468
 
Kama kawaida ya kikaango kutoka JF hapa tunamkaanga member mmoja kila siku maswali ya kistaarabu na majibu ya kiprofessional Zaidi.

Kwa leo tutakuwa na Ndugu yetu Da'Vinci kama guest,uliza swali lolote unalotaka kujua kutoka kwake na taaluma yake kwa ujumla.

Nb;
Tafadhari zingatia kutumia Lugha ya kistaarabu


Sent using Jamii Forums mobile app
Namimi niweke kikaangoni mkuu
 
Da Vinci ninini kimeshusha uwezo wako wa kutema madini humu Kama zamani?
Hakijanishusha uwezo, uwezo uko pale pale..Ila nimeamua ku stop kuandika vitu humu kwa sababu
  • Natumia muda mwingi na gharama kubwa kuandika maana sina laptop hvyo hua naenda I.Cafe pengine nakua sina pesa ya kumudu hilo.
  • Negativity na mwamko mdogo. Humu ukiweka mada watu wanatafuta sehemu iloyo negative tu ili wakukosoe na kukuyoa nje ya mada kiukweli inavunja moyo sana..Pia wengi hawana mwamko wa kusoma vitu vigumu wanapenda mapenzi ndio maana nami imenibidi nijichanganye Mmu.
  • Sometimes naona uvivu, nina vitu vingi vya kuandika sana hapa nilipo ila uvivu dahh
Any Questions?
 
Vipi ukapenda jina hilo na sio lingine ?
Nina sababu kadhaa..
●Napenda kua na maarifa ya vitu vingi kama huyo mwanasayansi alivyokua polymath (Polymath ni mtu mwenye uwezo/kipaji wa kufanya vitu vingi vizuri kwa asilimia 100%) kwa hiyo nami napenda nisipitwe na maarifa yoyote mapya japo angalau kwa kusoma vitu tofauti tofauti kila siku
●Nilikua naipenda sana chaneli ya Da vinci learning iliyoko Startimes, nimejifunza mengi kwenye hiyo chanel nilipokua mdogo though mpaka leo naipenda nikiwa na wasaa naitazama.
●Da Vinci ni jina zuri hata kulitamka sometimes natamani lingekua jina halisi but hata mwanangu naweza nikampatia jina hilii
 
Hakijanishusha uwezo, uwezo uko pale pale..Ila nimeamua ku stop kuandika vitu humu kwa sababu
  • Natumia muda mwingi na gharama kubwa kuandika maana sina laptop hvyo hua naenda I.Cafe pengine nakua sina pesa ya kumudu hilo.
  • Negativity na mwamko mdogo. Humu ukiweka mada watu wanatafuta sehemu iloyo negative tu ili wakukosoe na kukuyoa nje ya mada kiukweli inavunja moyo sana..Pia wengi hawana mwamko wa kusoma vitu vigumu wanapenda mapenzi ndio maana nami imenibidi nijichanganye Mmu.
  • Sometimes naona uvivu, nina vitu vingi vya kuandika sana hapa nilipo ila uvivu dahh
Any Questions?
Aisee labda uniambie uvivu na kukosa laptop ila kuhusu mwamko wa wasomaji hapana.

Katika nyuzi Bora za muda wote nadhani ile ya kwako ya uchoraji na uchongaji wa kina Michelangelo ilishawahi kuchaguliwa kuwa moja kati ya nyuzi Bora sana jf.hivyo kigezo cha kuwa kuna mwamko mdogo sidhani kama ni kweli .
Pili hujatutendea haki cc fansi wako sababu ulizotoa ni ndogo mno kukatisha furaha ya walio wengi
 
Aisee labda uniambie uvivu na kukosa laptop ila kuhusu mwamko wa wasomaji hapana.

Katika nyuzi Bo za muda wote nadhani ile ya kwako ya uchoraji na uchongaji wa kina Michelangelo ilishawahi kuchaguliwa kuwa moja kati ya nyuzi Bo sana jf.hivyo kigezo cha kuwa kuna mwamko mdogo sidhani kama ni kweli .
Pili hujatutendea haki cc fansi wako sababu ulizotoa ni ndogo mno kukatisha furaha ya walio wengi
Inawezekana kweli mkuu..Kutokua na Laptop ndio kinaleta uvivu. Napenda kuandika nikiwa na Pc nitaandika amost kila siku
 
Nafatilia post zako nyingi humu jf zipo makini sana. ila nilitaka nijue unatumia source ipi kuchimba na kujua vitu adimu kama vile ?
 
Nafatilia post zako nyingi humu jf zipo makini sana. ila nilitaka nijue unatumia source ipi kuchimba na kujua vitu adimu kama vile ?
Mara ya kwanza nilikua natafsiri post kama wengine wafanyavyo. Nikaacha maana naamini na nina mengi ninayoweza kuandika bila kuangalizia post za watu. So kuanzia 2019 nimekua nikiandika mawazo yangu. Ila vitu vingine hua nakua inspired kuandika kutokana na muvi nazotazama.
Ila pia hua najisomea somea sana vitabu na Wikipedia
 
Back
Top Bottom