JF Hard Talk "Da'Vinc"

JF Hard Talk "Da'Vinc"

Sawa. Da'vinci hizi post zako naweza sema ni zaidi ya darasa kutokana na wengi wetu kuwa wavivu kuchambua au kutafuta hayo maarifa. Ukiachana na jf ni wapi kwengine umetoa haya uliyo nayo
 
Mkuu Kuna uzi kule umeanzisha kuponda fans wa msanii fulani. Na replies kadhaa ikiwemo yangu zimekuwa ni negative.

Did that trigger you to retrieve this thread na je imeshusha confidence yako ya kuweka Mada Humu jukwaani ?

Ni hayo tu mkuu.
 
Sawa. Da'vinci hizi post zako naweza sema ni zaidi ya darasa kutokana na wengi wetu kuwa wavivu kuchambua au kutafuta hayo maarifa. Ukiachana na jf ni wapi kwengine umetoa haya uliyo nayo
Ahsante kwa kuona hilo.
Nimejitahidi sana kutumia mitandao mingine nje ya JF nimeshindwa kutokana na nature ya mitandao mingi nashindwa ku fit in..
So nipo jf pekee ndio naandika mambo yangu. Ila kuna mtu aliniomba Aweke maansiko yangu katika njia ya sauti kwenye chanel yake ta Utube hope akifanikisha atashea nasi ili tujifunze vizuri
 
Mkuu Kuna uzi kule umeanzisha kuponda fans wa msanii fulani. Na replies kadhaa ikiwemo yangu zimekuwa ni negative.

Did that trigger you to retrieve this thread na je imeshusha confidence yako ya kuweka Mada Humu jukwaani ?

Ni hayo tu mkuu.
Kiasi imenishusha maans jana nilikua nishakuja kuufuta uzi kabisa.. ila ikabidi niedit kidogo baadhi ya para.
Watu humu hua hawashambulii hoja bali wanamshambulia mtoa hoja. Inashangaza sana as home of great thinker
 
Write your reply...mkuu katika kutengeneza freezing tube katika my cryogenic lab nimegundua nuclear reactor zina defects yaani namaanisha hazipo stable na ukicheki temperature nili set optimum kabisa na condition na pressure ilikuwa sawa kabisa hivi mkuu shida itakuwa ni nini

na hio freezing tube yangu I mean chamber nahitaji haraka kabla ya 2021 kabla Virus vya Sarr cov 2 havijafika log phase
 
Nyie mafans die hard ee? Mnamfata hadi huku ! Atasuffocate bwana.
Mkuu Kuna uzi kule umeanzisha kuponda fans wa msanii fulani. Na replies kadhaa ikiwemo yangu zimekuwa ni negative.

Did that trigger you to retrieve this thread na je imeshusha confidence yako ya kuweka Mada Humu jukwaani ?

Ni hayo tu mkuu.
 
Sub ya pull ni ipi
Mkuu mimi ni moja ya mtu ninayependa kufanya vitu kimya kimya! Nasema Date privately and Break up privately. When you build in silence your enemy won't know where to attack.
Hata nitembee na wanawake mia humu jf hamtakuja jua.
 
Write your reply...mkuu katika kutengeneza freezing tube katika my cryogenic lab nimegundua nuclear reactor zina defects yaani namaanisha hazipo stable na ukicheki temperature nili set optimum kabisa na condition na pressure ilikuwa sawa kabisa hivi mkuu shida itakuwa ni nini

na hio freezing tube yangu I mean chamber nahitaji haraka kabla ya 2021 kabla Virus vya Sarr cov 2 havijafika log phase
Kamanda vipi yale mambo yetu una uhakika hujapata kweli..😕😕😕
 
Mkuu mimi ni moja ya mtu ninayependa kufanya vitu kimya kimya! Nasema Date privately and Break up privately. When you build in silence your enemy won't know where to attack.
Hata nitembee na wanawake mia humu jf hamtakuja jua.
Silenty kila
 
Back
Top Bottom