Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Hapa tutakuwa tunamkaanga member mmoja kila siku maswali ya kistaarabu na majibu ya kiprofessional Zaidi.
Kwa leo tutakuwa na Ndugu yetu Mshana Jr kama guest,uliza swali lolote unalotaka kujua kutoka kwake na taaluma yake kwa ujumla.
Note;
Unapouliza swali mwisho usisahau kupendekeza kesho unapenda iwe zamu ya nani kuingia kwenye kikaango (JF hard talk).
Nb;
Tafadhari zingatia kutumia Lugha ya kistaarabu
Update:
Ratiba ya leo kwenye JF Hard talk ni member maarufu sana FaizaFoxy ,kama utakuwa na swali lolote kumuhusu unakaribishwa sana muda ni kuanzia saa moja kamili usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa leo tutakuwa na Ndugu yetu Mshana Jr kama guest,uliza swali lolote unalotaka kujua kutoka kwake na taaluma yake kwa ujumla.
Note;
Unapouliza swali mwisho usisahau kupendekeza kesho unapenda iwe zamu ya nani kuingia kwenye kikaango (JF hard talk).
Nb;
Tafadhari zingatia kutumia Lugha ya kistaarabu
Update:
Ratiba ya leo kwenye JF Hard talk ni member maarufu sana FaizaFoxy ,kama utakuwa na swali lolote kumuhusu unakaribishwa sana muda ni kuanzia saa moja kamili usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app