Nimewaumiza na kuwatesa baadhi ni member wa JF na nilishawahi kuweka mada ya kuomba radhi
Nn kinakufanya ujutie ambacho umefanya kwa msaada wa uchawi au haujafanya ila unatamani ungefanya ?. Kwa uchawi au hiyo elimu yako ya ulozi.Mimi sio mchawi na sijawahi kuroga lakini ili kufikisha ujumbe ilinibidi kuvaa uhusika... Nina elimu kubwa na ufahamu juu ya uchawi ushirikina na ulozi hivyo najua ninachomaanisha
Jr[emoji769]
Naomba uweke link, isijekuwa ndio ile thread yetu[emoji23][emoji23][emoji23]Nimewaumiza na kuwatesa baadhi ni member wa JF na nilishawahi kuweka mada ya kuomba radhi
Jr[emoji769]
Ndio nimefanya kazi mochwari na pia kwenye matanuri ya kuchoma maitiJe ulishawahi kuwa mfanyakazi wa kuhudumia wapendwa wetu waliotangulia mbele za haki(Mochwali) kama mwenyewe unavyojinasibu kwenye nyuzi zako mbali mbali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka na mimi nijitolee unitese kuhakikisha kama ni kweli?Nimewaumiza na kuwatesa baadhi ni member wa JF na nilishawahi kuweka mada ya kuomba radhi
Jr[emoji769]
Vyanzo mbalimbali
Hapana Haiwezekani kabisa...Nataka na mimi ninitolee unitese kuhakikisha kama ni kweli?
Je hilo linawezekana
Changamoto/tukio gani lililowahi kukutokea kwenye moja ya kazi zako tajwa hapo juu ?Ndio nimefanya kazi mochwari na pia kwenye matanuri ya kuchoma maiti
Jr[emoji769]
Mwanzo ilikuaje ukaweza?na nini ilikua sababu Mkuu?Hapana Haiwezekani kabisa...
Jr[emoji769]
Sawa mkuuNaomba poo.. Naingia meditation... Tutaonana usiku
Jr[emoji769]
Nimewaumiza na kuwatesa baadhi ni member wa JF na nilishawahi kuweka mada ya kuomba radhi
Jr[emoji769]
Aaaaaaah hapana[emoji51][emoji51] tuonane pakikucha muda wa kulala wewe naona ndo kumekucha[emoji28][emoji28]Naomba poo.. Naingia meditation... Tutaonana usiku
Jr[emoji769]
Jina sahihi kabisa
Umri above 30 marital status married with 2 kids
Mwajiriwa na mjasiarimali
Naishi Pwani
Jr[emoji769]