Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Hahahah sawa Wacha niwabishie hodi๐Akiwa hajajibu ujue kafa๐
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Karibu Sanaa cousin,atafurahi mnoo..na macharali
Dunia ilivyo ligi unawezaje kutoichezaMwisho ila si kwa umuhimu......uyo bwana alivyokuja kwako alikukula ?
.... huwa hamkawii kuchanganya ID hasa munkari ya ku-comment ikikushika.๐คฃ๐คฃ๐คฃIle I'd ilikuwa Haina mambo ya kijinga jinga
Sasa kama mimi ukiijua ID yangu utaniuliza haya magari nayoongeleaga humu yapo wapiBora nikupe hela ila sio id yangu ya huku mana utajua vingi visivyo onekana toka umekaa na mimi.
HahahahaBora nikupe hela ila sio id yangu ya huku mana utajua vingi visivyo onekana toka umekaa na mimi.
akiona uzi si yanakuwa yale yale, unakuwa umefichama kwa kufumba macho.No,hii ni mpya nilifungua baada ya tukio niliona atakuwa anaufuatilia comment zangu
๐๐๐๐ BafanabafanaKwa hiyo Ina maana jamaa alikuacha kizembe namna hiyo?
Bila unafiki na bila kupepesa macho na kwa experience yangu ndogo Kwa upande wake naona anaweza kuwa alikua sahihi au hakuwa sahihi kwa sababu zake anazozijua yeye!
Jf kwa drama za mapenzi [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212]
NB; Sijasema msiwe na mahusiano humu!
๐๐๐Vichwa vingine bhn tuachege bangiHuwa mnakutana nazo wapi?
Unaingia jf unakuta Uzi mrefu kma mkojo wa asubuhi kutoka Kwa x wako ๐๐๐Hahaha..........kwamba mkishindwana na chochote ndani lazima aje akuanzishie Uzi JF ๐ ๐
Hatari