JF ilivyoua huba langu

Mimi huwa nikitaka kuanzisha ugomvi navizia litokee lolote.Nikiona halitokei naanza hata kuwa mkali kwa nini unaniangalia!πŸ€”
 
Huyo haijui JF zaidi ya kusimuliwa. Angekuwa kweli anaijua basi asingekusakama ww kuitumia.

Anaisikia tu aijui vizuri na kalishwa uongo.

Huezi amini wengine wanajuaga JF ni mtandao wa siasa tu na kutafuta wapenzi.
Mmh mbona alikasirika sana😁😁😁😁?
 
Mtazamo wake tu labdah hataki mpate wote nondo za humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…