JF ilivyoua huba langu

Sawa babu😥😥😥
Hapa bado hujalia Binti yangu,,nitahakikisha unaendelea mwaga chozi la furaha kila wakati Mungu atakapo tujalia uhai na afya ya mifupa,,Damu na Nyama!!Sawaa Joah!!
 
Huyo alikuchoka alikuwa anakutafutia sababu hana lolote, sema ulikosea usingeachana naye kwanza mpk ungejua ID yake ili wazaramo tuwe tunampitia na kijembe 😂😂😂
Kwa kweli alitafuta sababu sio siri🤣🤣🤣
Si ndio hivi mzaramo Leo nimekumbuka nimemleta kilingeni wazaramo wenzangu mshughulike nae🤣🤣🤣
 
Wanawake na wanaume walioko jf ni walewale walioko mtaani.

Ex wako ni mjinga tu kama wajinga wengine, vipi wanaoonyesha viungo vyao TikTok? Instagram? Facebook? Twitter?

Angefikiria hilo asingewaza ujinga.
 
Duuh hii kali!
 
What if mke wako yumo humu Kwa kificho?umewahi kuwaza Hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…