JF ilivyoua huba langu

Kwani nyie si ndio tuko nanyi mitaani huku 🤣

Uzuri wa jf inaonyesha tabia halisi za watu mitazamo, akili, mawazo ya jamii yetu kwa sababu uwepo wa id fake umefanya watu wawe huru kufunguka
Yaani angenikiuta na hii ID ya sa hivi ilivyohuru ndio angezimia😁😁
 
Na yeye hafai sababu ana account jf
 
Huyo alikuchoka alikuwa anakutafutia sababu hana lolote, sema ulikosea usingeachana naye kwanza mpk ungejua ID yake ili wazaramo tuwe tunampitia na kijembe 😂😂😂
Mzaramooo
 
Kwa kweli alitafuta sababu sio siri🤣🤣🤣
Si ndio hivi mzaramo Leo nimekumbuka nimemleta kilingeni wazaramo wenzangu mshughulike nae🤣🤣🤣
Mshenzi huyu alikuwa na yake
Akakutafutia sababu
 
Ile ya bunju ni story ndefu, tukiacha madhaifu ya kibinadamu na vikwazo vya kua na ID jf vp bado hujamiss zle moments nzuri tulivokua pamoja
🤣🤣🤣🤣Kwa like gubu lako nishasahau hata hizo good moments zenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…