Kung fu panda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 748
- 785
tafuta na siredi za Kiduku lilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ile stori yake inaitwa ganda lililooza aisee ni hatari sanaKuna mtu alikuwa anaitwa Mentor!..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wewe humjui Zero IQ wewe
Ni Kiduku Lilomkuu Kiduku liko
hilo halina ubishi kabisa, wewe ni miongoni mwa watu wanaojimwambafai kuwa eti una IQ kubwa, unajua kila kitu
Lkn ukweli ni kwamba hata uweje huwezi kujua kila kitu unaweza kuwa mhandisi wa umeme usijue kutibu watu
Sasa wewe komaa na ujuaji wako, am sorry lkn ni mtizamo wangu tu mkaka usije ukaanzisha ligi
Japo ukweli utaki kuwa una ID nyingi sana wewe
Kuna msemo nausikia Sana mtaani wanasema "Mwana Kuyataka....." Miss_IreneAcha ' Kujinyegeza ' Kwangu ' Bidada ' sikuhitaji na wala usilazimishe ' Kutinduliwa ' nami sawa? Mimi Mwanamke ' Maji ya Jioni / Bibi / Mzee ' kabisa nikupeleke wapi? Kama Mimi najua sana kuna mahala na Wewe umezuiwa Kutokujua mambo / vitu mbalimbali? Umesema hapo mwisho kuwa nina ID' s nyingi sana hapa Jamvini na inaonyesha ulikuwa ' ukiwashwawashwa ' mno nami tokea Siku nyingi hivyo nakuomba uzitaje hizo ID's zote unazojinasibu kuwa ni zangu.
Sijui Yuko wapi huyu jamaa!Kuna ile stori yake inaitwa ganda lililooza aisee ni hatari sana
Jiandae kuambiwa kuwa hii ni ID nyingine ya GENTAMYCINE Mkuu.
Huyu @Lara1 nyuzi zake zilisababisha mdogo wangu wa mwisho ambaye ni binti amiliki LC 200 kabla yangu.Kuna mdada pia alikua anaitwa Lara1
Alitisha sana kipindi chake
Tupe uthibitisho Mkuu kitabu kipi amecopy kwa mtu yupi... tafadhali usilete blah blah Jibu direct kitabu FULANI amekopy kwa mtu fulaniUnamjua kiduku lilo?
Yericko ana copy vya watu mtoe hapo