JF imejaliwa vipaji, kuna watu ni watunzi wa stori unaweza ukaamini, tuwekee orodha yako

JF imejaliwa vipaji, kuna watu ni watunzi wa stori unaweza ukaamini, tuwekee orodha yako

hilo halina ubishi kabisa, wewe ni miongoni mwa watu wanaojimwambafai kuwa eti una IQ kubwa, unajua kila kitu

Lkn ukweli ni kwamba hata uweje huwezi kujua kila kitu unaweza kuwa mhandisi wa umeme usijue kutibu watu

Sasa wewe komaa na ujuaji wako, am sorry lkn ni mtizamo wangu tu mkaka usije ukaanzisha ligi

Japo ukweli utaki kuwa una ID nyingi sana wewe

Acha ' Kujinyegeza ' Kwangu ' Bidada ' sikuhitaji na wala usilazimishe ' Kutinduliwa ' nami sawa? Mimi Mwanamke ' Maji ya Jioni / Bibi / Mzee ' kabisa nikupeleke wapi? Kama Mimi najua sana kuna mahala na Wewe umezuiwa Kutokujua mambo / vitu mbalimbali? Umesema hapo mwisho kuwa nina ID' s nyingi sana hapa Jamvini na inaonyesha ulikuwa ' ukiwashwawashwa ' mno nami tokea Siku nyingi hivyo nakuomba uzitaje hizo ID's zote unazojinasibu kuwa ni zangu.
 
Acha ' Kujinyegeza ' Kwangu ' Bidada ' sikuhitaji na wala usilazimishe ' Kutinduliwa ' nami sawa? Mimi Mwanamke ' Maji ya Jioni / Bibi / Mzee ' kabisa nikupeleke wapi? Kama Mimi najua sana kuna mahala na Wewe umezuiwa Kutokujua mambo / vitu mbalimbali? Umesema hapo mwisho kuwa nina ID' s nyingi sana hapa Jamvini na inaonyesha ulikuwa ' ukiwashwawashwa ' mno nami tokea Siku nyingi hivyo nakuomba uzitaje hizo ID's zote unazojinasibu kuwa ni zangu.
Kuna msemo nausikia Sana mtaani wanasema "Mwana Kuyataka....." Miss_Irene
 
Kiduku lilo japo huandika fix ila kuna funzo kubwa kwenye maandiko yake
 
Back
Top Bottom