JF ina Majungu jamani: Kupitia Post yangu ya roho inaniuma ila no way out nimejifunza haya

JF ina Majungu jamani: Kupitia Post yangu ya roho inaniuma ila no way out nimejifunza haya

Hebu mtake radhi Mtemi Deogratius Nalimi Kisandu. Pamoja na dishi lake kuyumba bado anaandika kiswahili fasaha na kimenyooka kweli kweli!

Huyu jamaa hajui kiingereza na akiandika kiswahili bado ni upuuzi mtupu!

Mimi nimemshauri akomae na shule aachane na haya mengine asiyoyaweza, akue kwanza!

Once again, do not confuse his majesty Deogratius Kisandu with this little guy, for heaven's sake!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Hahaha, jamaa toka adakwe na polisi kuhusu issue ya FB hajasikika tena, sijui yuko wapi aisee.
 
Back
Top Bottom