[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hahaa kwa hiyo nisimfananishe deo kisandu na vitu vya kijinga sindio !!?
sawaa Wana fasihi tume shakuelewa ..hahaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi sijasema hivyo mkuu!
[emoji119] [emoji119] [emoji119]sawaa Wana fasihi tume shakuelewa ..hahaa
ππππKwa akili hizi huyo mpenzi wako ukimaliza nae huu mwaka niite mbwa.
Hebu mtake radhi Mtemi Deogratius Nalimi Kisandu. Pamoja na dishi lake kuyumba bado anaandika kiswahili fasaha na kimenyooka kweli kweli!
Huyu jamaa hajui kiingereza na akiandika kiswahili bado ni upuuzi mtupu!
Mimi nimemshauri akomae na shule aachane na haya mengine asiyoyaweza, akue kwanza!
Once again, do not confuse his majesty Deogratius Kisandu with this little guy, for heaven's sake!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kisandu will rise again!Hahaha, jamaa toka adakwe na polisi kuhusu issue ya FB hajasikika tena, sijui yuko wapi aisee.
Kisandu will rise again!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]