Alijiita Gogle.
Wakuu,
Ni Yule yule kijana wa miaka 25 niliyetahiriwa hivi karibuni na kupatwa matatatizo kadhaa yaliyosababishwa na kuchelewa kutahiriwa, yakiwemo uume kupinda kushoto na kupatwa na kizunguzungu kila nionapo makalio makubwa yakitingishika.
Leo nimekuja mbele yenu kuwaombea nafuu wale vijana wenye vibamia, Mimi sina kibamia, yangu ni above average size.
Tunaambiwa kwamba kila kitu kina uzuri wake na ubaya wake, kwa maana hiyo kibamia kitakuwa na uzuri wake pia, Mara nyingi tumeona wenye vibamia wakisemwa vibaya tu. Hivyo hapa naomba wale wenye kujua uzuri/utamu wa kibamia watueleze hapa ili huu Uzi uwe habari Njema kwa wenye kibamia.
Karibuni wote
Nb: Kibamia = uume mdogo
Sent from my iPad using JamiiForums mobile app