Mimi hapana, hujapatia.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniii!wewe je?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] waiba nyanya bwana wakakamatwa wakasambazwa mabweni yoteeRay umesahau na waangusha minazi na miarobaini usiku,siku moja nipo na mnazi wangu kanikamatilia mara mlinzi tulitoka mbio tukayavuta matisheti vichwani mi nakimbilia girls ye anakimbilia boys ,nilitetemeka jamanii sikurudiaa tenaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi bwana nimesoma gvt ila sasa!!siku za disco wee!maustadhat nakuambia tunawakomaa wanatusemaaa balaa!hatukomii!!tunaenda kama kawaida na vipanchuchu vyetu!Mi nilisoma shule ya Free pentecoste church Igunga huko asubuhi lazima muingie kusali ndio muende darasani,ikifika jioni tena kusali mnaenda prepo,sasa kiongozi wetu wa tamsa akiwa mle assembly hall anatuona sie tunacheza kwaya pamoja na walokole alikuwa anatumaindi vibayaa,basi kuna muda walikuwaga wanakuja wachungaji tofauti tofauti kina Marehem Moses kulola,basi akija ni shangwe mtacheza disco la Yesu mpaka basi ,basi Kiongozi wa Tamsa aliongea mpaka akachoka anatuambia ni dhambi mnataka muwe makafiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ubaya wake sasa kukiwa na graduation ni mwisho saa 12 na ni kwaya mwanzo mwisho hapo tu ndio nilikuwa naudhikaje
hahaa hii hapa hata mimi nahitaji maelezo aiseeIta waliosoma Mkwawa High School waje waongezee uzoefu wa boarding school......
Hongera kwa ulichokiwaza, ila hujatuambia wadokozi wa vitu vya wenzao na wapiga kelele darasani na bwenini wangekuwa akina nani?[emoji12]
hahahaa aiseeHahahah lazima ungekua dem wangu mana nilikua mbabe si kidogo
😀😀😛[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi mpokea waruka ukuta na kumzugisha matron asifanye rokoo
wewe tena" ingekuwa ukirudi likizo warejea na mizinga ya jd Kama yoteMimi kiranja wa social. Yani starehe kama zotee.
hahahaaaSijaona watu/vinara wakupiga double share(addition) ya chakula kuanzia uji, wali, ugali na makande.
Hapa usingenikosa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
yaani weee acha tuHadi nimekumbuka maish ya boarding, raha sana.