JF ingekuwa BOARDING SCHOOL Mambo yangekuwa hivi!!

Hahaaa!!wewe kumbe ni mzembee hvyooo!!
Hapana tatizo wanafunzi wakishasikia mfuko wa nylon unalia basi uwo mstari ni either ugawe mazagazaga hadi yaishe au ugawe kwa marafiki.....

Nakumbuka locker langu lilikua na solex kubwa ila wahuni walifanikiwa kuchonga funguo ya mbao wakawa wanalitombesha kwa hiyo tukawa tunagawana na wao.....

Nakumbuka nilikua nikitoka darasa ule muda wa uji nakuta punjepunje za sukari ziko chini nasema hapa wahuni washafanya yao nilikuwa nakwazika sema ndio hivyo....
 
hahaha

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Tuliosoma boys mwanzo mwisho tumemisi vingi mazee mpaka hasira sijui nkaanze shule upya ila nshazeeka sasa si kutafuta madema unaenda km 10 japo wanatukubali lakin time wapi bhana kitabu chenyewe kimekaza hase acha tu sitaki hata kukumbuka hayo maisha
 
Unanukumbusha darasa fulani nililosoma. Yaani wasichana walikuwa kama sita hivi halafu midume kama yote. Sasa hiyo competition ya kuwagombea hao sita si ya nchi hii. Unakuta nsichana mmoja anagombewa na kipanga, kilaza, prefect, mcheza mpira , cool guys, vyakaramu, na wale wenye ufahamu wa general kama kirnga, mabraza men na walimu wa field yaani tafran. Ile battle ilikuwa si ya kitoto
 
Umenikumbusha a way back huko O level nilikuwa nakunywa uji balaa....

Yale maisha nikiyakumbuka huwa nacheka sana....
Hahahahahaaaa.

Kuna watu walikuwa Expert kwenye masuala ya chakula, kwenye uji watu wanaenda na sahani badala ya kikombe maana sahani ilikuwa inarahisisha uji kupoa na unaunywa haraka unarudia tena kabla foleni haijaisha
 
Hahahahahaaaa.

Kuna watu walikuwa Expert kwenye masuala ya chakula, kwenye uji watu wanaenda na sahani badala ya kikombe maana sahani ilikuwa inarahisisha uji kupoa na unaunywa haraka unarudia tena kabla foleni haijaisha
Watu tulikuwa tunatumia vindoo vidogo vile vya sabuni za unga [VISADO" au makopo yale ya peanut butter tulikuwa tunayaita "BANGALA"....

Yaani ukimaliza uji hapo vipindi vyote vinavyofuata hapo baada ya breaktime ni usingizi wa kufa mtu aisee....
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pyeeee!we ungekua mnokoooo halafu mitihani wa mwishoooo!!!unajifanya msongooo kumbe bureee
hahahaha meningekua kaka wa darasa tozi mademu wote wananishobokea daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…