Hahaha...basi kwa huo mkojo utasubiria ufe waapi hadi tutakuwahi tukuokoe.Udaku katika ubora wake!! Uzi umefungua leo, umeshafika pg.15?????
Bi Niah aachika sababu ya kukaa muda wote kwenye JF, amejaribu kunywa sumu wakampa mkojo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwako hajaja bado[emoji23][emoji23] msubirie utaliona kuku pori lile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Je wajua kwanini watoto wa chuo huwa watamu sana ? Soma uk7 kupata undani wa habari hii.
Nimung'unyie kidogo π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtu alinitonya hii habari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimung'unyie kidogo [emoji102]
Ukijua sababu ajabu huondoka.Yesu wangu [emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
..
Marianah njoo uone maajabu ya dunia huku
Sijakukimbia mambo mambo tu yaliingiliana,leo nakuja huko tushinde wote mpaka kieleweke.Wewe Zurri wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kwanza umenikimbia kule.
Noma, niko bush hapa naishi kwa kuhesabu bajeti. Narudi mjini tar 21 mchana, jioni yake naweza kuwa available.
Labda Marianah.Ukijua sababu ajabu huondoka.
[emoji23][emoji23][emoji23] mwajuma ndala ndefu
Basi nakupenda
Kuanzia leo anza kujiita mama swalehe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijakukimbia mambo mambo tu yaliingiliana,leo nakuja huko tushinde wote mpaka kieleweke.
Labda Marianah.
Mimi siwezi hata kwa sumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Bora niozee kwetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mara paap... saint anne aslimu[emoji14]
Dunia yafika mwisho[emoji134].
Hiyo Ni ndoto ya Zurri[emoji23][emoji23]
Eeeh bhana eeeh π π πNgoja niwaambie mods wabadili ID yangu
Unapishana na mengi cute[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi habari huwa sizisomi
Hiyo harusi mbona imefanyika kimya kimya sana. Au bajeti ilikuwa ndogo ?Hatimaye Lizarazu amuoa Marianah..
interlacustrineregion ambaye Ni mdogo wa bwana harusi aandaa bonge la sherehe[emoji14]