JF ingekuwa gazeti la udaku.

JF ingekuwa gazeti la udaku.

Hiyo heading ya kwanza nimeipenda.[emoji1787][emoji1787]
Just assume JF tungekuwa na gazeti letu la Udaku kama Kiu, uwazi n.k

Vichwa vitasomeka hivi.

1. Week zapita sasa X wa mgangaa mashuhuri JF kitoonekana jamvini

2. Dau la kuhonga lakonga mioyo ya wanawake wa JF (7800).

3. 7800 yazua kizaa zaa.

4. Wanaume wa JF wakesha kuomba kama Paulo milango ya wanawake kufunguliwa(PM)

5. K-Vant yamgaragaza babu mtaroni (Asprin)

Ongeza vichwa vya habari.
 
Na ushungi juu,acha kabisa,na tunavyojua "Lulu huwa nzuri ikiwa katika jumba lake".

Halafu ukabe pale namba tatu,yaani beki wa kupanda na kushuka,halafu awe namba nne full mkoba,time iwe imekamilika.

Wewe subiri nikuvalie njuga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani ushungi kitu gani!?
Hadi Sasa nnao na nna picha nimevaa.
Kuvaa sio tatizo..Ni moja Kati ya mavazi yangu.
Shida kuuamini huu uongo,eti naenda kuwa mke wa nne[emoji25][emoji12]
Zurri unaota ndoto za mchana[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee nimecheka
Just assume JF tungekuwa na gazeti letu la Udaku kama Kiu, uwazi n.k

Vichwa vitasomeka hivi.

1. Week zapita sasa X wa mgangaa mashuhuri JF kitoonekana jamvini

2. Dau la kuhonga lakonga mioyo ya wanawake wa JF (7800).

3. 7800 yazua kizaa zaa.

4. Wanaume wa JF wakesha kuomba kama Paulo milango ya wanawake kufunguliwa(PM)

5. K-Vant yamgaragaza babu mtaroni (Asprin)

Ongeza vichwa vya habari.
 
Kwahiyo mkuu kwenye ule uzi wetu kule unatuzuga ama nini au umeokoka na ajali ya moto.
Mimi niliokoka rasmi tangu 1982, babu wa mama yangu kajenga Azania Front 1903 familia zangu kwa baba na mama zote ni za kichungaji.

Sema jingine.
 
Back
Top Bottom