Mmhhhhhh udaku hua na maelezo kidogo..embu nipe code pulizzzMrembo abadili jina kutoka F kwenda D,ni baada ya marumbano makali na baharia wa Jamiiforum.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeelewaMrembo abadili jina kutoka F kwenda D,ni baada ya marumbano makali na baharia wa Jamiiforum.
Mie meishia njianiNimechoka mwanzo kabisa
Kwangu hachomoi yulee banaHatimae Sakayo na Transcend wamwagana, ni baada ya Transcend kugundua Sakayo anamichepuko kadhaa
HahahahahahaYani acha tu ni balaa,bado wewe tu[emoji3]
Huo ni uchochezi sio udaku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Mrembo atoweka jukwaani baada ya picha yake ya beach kuvuja"[emoji126][emoji126]
Nje ya mada. Nimependa ulivyobana nywele zako na hizo glass zako miss Saint anne. Uzoefu unaonesha wadada wenye looks kama yako huwa mnavutia sana machoni mwa wapenzi watazamaji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechoka
Wewe huchunguzi ila unasoma habari iliyofanyiwa uchunguziNachunguza Nini Sasa Kama hapo[emoji3526]
Mmhhhhhh udaku hua na maelezo kidogo..embu nipe code pulizzz
Kumbe jf ina mamilionea lukukiSherehe watafanya nyumbani kwa millionea @Lizarazu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwandishi wa gazeti letu anasema..
Bwana Da'Vinci sio mtu wa kugombania vitu yuko tayari kuachia saint anne ampite mbali kama kuna mabaharia wanamuwinda.
Mpaka sasa gazeti letu lazidi kufanya juhudi za kumnasa saint anne
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kiduku Lilo avimbiwa hadi kuzimia kwenya harusi ya ndege JOHN
Kwa ndoa ipi!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa vipi nisiwe na malengo wakati nimetangaza kukuweka ndani ? Embu lipe muda hili,usiwe na haraka kuniwekea viunzi.
Hivi hujui hata kamba hukata jiwe ? Nakukumbusha tu hili,na haya si maneno yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie meishia njiani
Sikutaka kuumiza kichwa
Hahahahahaha
Mimi siwezi badili bana hata wachomoe engine....
Nimepoteza marafiki wengi wanakuja na ID mpya halafu hawasemi
[emoji23][emoji23][emoji40][emoji40]Huo ni uchochezi sio udaku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hicho kipilipili tu..sura ya baba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nje ya mada. Nimependa ulivyobana nywele zako na hizo glass zako miss Saint anne. Uzoefu unaonesha wadada wenye looks kama yako huwa mnavutia sana machoni mwa wapenzi watazamaji.
Nature ya habari za hivyo siwezi kuzisomaWewe huchunguzi ila unasoma habari iliyofanyiwa uchunguzi
Lizarazu njoo umwambie huyu.Kumbe jf ina mamilionea lukuki