JF ingekuwa gazeti la udaku.

JF ingekuwa gazeti la udaku.

Ukurasa wa mbele ungesomeka "Hatimae yule binti aliyekuwa akifahamika kwa jina la felister A.K.A muuza na mchoma nyama katika viunga vya dodoma abadili jina na kujiita Depal kuepuka kasumba mbalimbali baada ya unaosemekana kuwa mguu wake kuonekana ukitrend katika kijiji cha JF baada ya kuvutwa na kukuzwa kwa msaada wa VAR na mmoja wa mabaharia wa JF"

Ni utani tu bebe Depal nakukubali sana 🙂 🙂 🙂
Hahahah
 
Mabishano makali yamezuka kwa warembo kuhusu kiba na muhogo wa jang’ombe ipi ni tamu sana [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Brother kiba msanii au Nani!?
Ni wewe umeandika haya?[emoji85]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom