JF ingekuwa YouTube

JF ingekuwa YouTube

Wazalendo unity_official asema atajitolea kumsaidia IT Guru kununua kompyuta 10 ili kusaidia kauli yake ya Uzalendo Wa Kitanzania .








Wazalendo unity_official wahimiza Jamii kwanza kujitolea kukamilisha kuchangia gharama za ufungaji wa security systems
zinazotarajiwa kufungwa na kampuni ya IT Guru katika eneo la Rufiji dam ili kuboresha hali ya Usalama katika eneo hilo.

Aidha harakati za Harambee hizo zimeasisiwa na Watu8 wakiwemo Watunduru Watu pori na Watu flani flani.....zikapewa Baraka na
chief chakicha kwa upande wa Kimila PAMOJA na Balozi Mbumbumbu kwa upande wa serikali na kupewa nguvu na billionea alpha aliyeahidi kutoa pesa taslim kiasi cha shilingi za kitanzania BILLION 3 na kuwaasa Wadau wengine pia waguswe na kujitolea.
 
Back
Top Bottom