Mkuu Kwenye Red hapo, Tatizo kubwa ni kuto kutoa elimu kwa huyo Ndugu yako watu wengi huishia tu kukabidhi majukumu bila kumpa elimu Ni lazima elimu ya kutosha itolewe,
- Ni lazima ndugu zako wapate elimu ya biashara, Umuhimu wa biashara yako kwako, Na faida gani watipata wao mbele a safari, watu huishia kuoneana aibu kisa umemeweka Shemeji yako so hata akfanya nini haulizwi,
Na mwisho ili kweli kufanya the real business basi huna budi ku opt moja, kuendelea na kazi ya kuajriwa au kuchoma meli moto na kuendelea na shughuri zako, Why? Wewe ndo mwanzilishi wa Idea, wewe ndo unapaswa kupigania wazo laoko na si mwingine yoyote yule, si mke wako wala shemeji wala mdogo wako wala kaka wala Dada it is you,
Biashara yako haiwezi kusonga mbele bila wewe na biashar sio kuanzisha na kuweka watu na wewe kubakia kupiga simu kuulizia, Mwazno wa biashara ni lazima upartcipate vilivyo na baadae ikisha kuwa kubwa ndo unawza kaiimisha majukumu, sasa tunacho kifanya ni kinyume, tunakaimisha majukumu mwanzo wa biashara,