Duh! Shikamooo sijui babu sijui bibi ila shikamooo
Preta u are prettyKabisa.......na hata ukinijua kwa ID yangu kama hivi Preta.........ukiniletea mauzauza........nakuja na ID nyingine nakuchana live vilevile........halafu nakuja tena na Preta nakuchekea.........nakua nshatoa dukuduku.......wewe unachemka mimi nacheka.........
nzuri eeeeh.......
Utaratibu wa ID's zisizo na majina halisi hutumiwa na forums na JF kama forum imeendelea kuuenzi tu...
JF sio wa kwanza kufuata utaratibu huu na wala hawatakuwa wa mwisho...
Hivyo hakuna jambo la kushangaza...
HOE ni id moja ikimaanisha Heaven on earth dada mmoja kapotea, sorry kama si weweSasa hoe ni nini.......?......
Yaani bora tuendelee ivi ivi tusijuane
Maana tutakosa mambo mengi
Ingekua poa tungetumia majina halisi