JF isingenoga bila ya ID fake

acha ibakie hivi hivi ilivyo aise
Sitaki kupewa shikamoo na vijana maana ukiniona utachoka kabisa !!!!!

Duh! Shikamooo sijui babu sijui bibi ila shikamooo
 
Preta u are pretty

Nakufananisha na H.O.E
 
Last edited by a moderator:
Utaratibu wa ID's zisizo na majina halisi hutumiwa na forums na JF kama forum imeendelea kuuenzi tu...

JF sio wa kwanza kufuata utaratibu huu na wala hawatakuwa wa mwisho...

Hivyo hakuna jambo la kushangaza...

Cha muhimu ni kuzingati tu hii kauli....

"Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…