JF isingenoga bila ya ID fake

JF isingenoga bila ya ID fake

Kabisa.......na hata ukinijua kwa ID yangu kama hivi Preta.........ukiniletea mauzauza........nakuja na ID nyingine nakuchana live vilevile........halafu nakuja tena na Preta nakuchekea.........nakua nshatoa dukuduku.......wewe unachemka mimi nacheka.........
nzuri eeeeh.......
Preta u are pretty

Nakufananisha na H.O.E
 
Last edited by a moderator:
Utaratibu wa ID's zisizo na majina halisi hutumiwa na forums na JF kama forum imeendelea kuuenzi tu...

JF sio wa kwanza kufuata utaratibu huu na wala hawatakuwa wa mwisho...

Hivyo hakuna jambo la kushangaza...

Cha muhimu ni kuzingati tu hii kauli....

"Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"

 
Back
Top Bottom