Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani kwani kasema Makutano itakuwa wapi? 😎Yaani nitoke huku Msakuzi kila siku hadi huko kufanya jogging?
We hutaki Mkuu?Ngoja waje.
hajasema lakini mpaka sasa zoezi lake lishafeli.Mtani kwani kasema Makutano itakuwa wapi? 😎
Labda tukimbie humuhumu na mimi ntajiunga!
Oooh!! Sawa Mtani.hajasema lakini mpaka sasa zoezi lake lishafeli.
Maana hata akisema iwe wapi bado kwa wengine itakuwa mbali. Kwa kifupi kiJF ni ngumu. Labda aanzishe ya hapo mtaani kwao.
Ukifika mwisho niite nije kufanya mazoezi ya viungo. 😀😀Ahhaahhaah mi leo nimeanza kukimbia humuu
Ukifika mwisho niite nije kufanya mazoezi ya viungo. [emoji3][emoji3]
🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Labda tukimbie humuhumu na mimi ntajiunga!
Mwenzanguu!! Hapana kwa kweli. 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23] vivu wewee
Mwananchi mwenzangu kama sijakosea.. Ngoja nikupe mbinu ya kijeshi instead of kwenda jogging kopa tu mkopo mrefu bank [emoji23] halafu zitumbue tumbue hizo pesa zikibaki kidogo anza kuulipa mbona ukitaka uishe huo utipwa tipwa utaisha wenyewe automaticallyMimi tipwa tipwa mtakuwa mnanikuta humu humu mana nilishashindwaga hayo mambo [emoji3][emoji3]
Tooobaa!!! Hivyo ile saa naumiza kichwa namna ya kupambana na mkopo basi minyama yote inanywea.Mwananchi mwenzangu kama sijakosea.. Ngoja nikupe mbinu ya kijeshi instead of kwenda jogging kopa tu mkopo mrefu bank [emoji23] halafu zitumbue tumbue hizo pesa zikibaki kidogo anza kuulipa mbona ukitaka uishe huo utipwa tipwa utaisha wenyewe automatically
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh ndio maana yake, hii njia inawafaa watu wote wavivu wa kufanya mazoeziTooobaa!!! Hivyo ile saa naumiza kichwa namna ya kupambana na mkopo basi minyama yote inanywea.
Ama kweli hunitakii mema Mwananchi mwenzangu. [emoji28][emoji28]
😀😀 Haya bana Mwananchi mwenzangu.Eeh ndio maana yake, hii njia inawafaa watu wote wavivu wa kufanya mazoezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sema nakuamini kwa kiasi kikubwa naomba nitoe wenge hio january 4(kama sijakosea tarehe) tutatoka salama kweli[emoji3][emoji3] Haya bana Mwananchi mwenzangu.