hao viongozi ndio hawapo! labda tukakodi viongozi huko ulaya na amerika au tukamchukue kiduku aje atukomeshe!kumbe unaelewa gentleman,
nenda kajiandikishe, ukagombee na ukapige kura kuchagua viongozi watakao tengeneza hayo mazingira bora na mazuri zaidi ya wananchi kupata hela π
Basi hapo CCM wanafurahi km nnKwa kuwa kura yangu haiheshiwi.nimeamua kwa hiyari yangu kuto kujiandikisha na sitopiga kura.waendelee tu kujimilikisha nchi hii.siwezi poteza muda wangu huku nikijuwa kabisa wataiba kura.
Mkuu, usemalo ni kweli; lakini ni nani anasababisha haya yote,?Hatuwezi poteza muda juani tuache kutafuta ugali alafu wataoshinda washapangwa na wanajulikana, madhara makubwa sana yanaonekana baada ya kauli zile za kibaradhuri kuonekana za kawaida kawaida haya kiko wapi? Na nahisi mengine yanakuja watu wamesusa haswaaaa
Labda asilimia 70 ya wewe na hiyo familia yako alafu huu muandiko wako wewe ni mwenetu Mwamshamba wewe haya tuko pamoja " ndugu Mtanzania"π€£π€£ikiwa ni kupoteza muda ifike mahali basi pasiwepo na hali ya kulalamika kupita kiasi kwa walioshiriki zoezi hilo na kupewa dhamana ya uongozi. Wanachokifanya ndicho wengi wameamua kiwe hivyo kupitia sanduku la kura, waliona ni kupoteza muda kiwewe kisiwepo basi..
akina nani hao waliopangwa na wanajulikana ndugu mdau?
Infact mpaka sasa,
zoezi la kujiandikisha kwajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa limeenda vizuri mno katika maeneo mengi ya nchi. Huu ni mchakato, yawezekana kuna dosari na kasoro ndogo ndogo katika maeneo fulani fulani.
Hata hivyo,
hiyo haizuii hata kidogo zoezi kukamilika na uchaguzi kufanyika Nov27.2024.
Nadhani mpka sasa zaidi ya 70% ya waliotarajiwa kujiandikisha tayari tayari wamejiandikisha π
mimi niwe kiongozi mbona patachangamka!kama hawapo si ujitokeze ili waanze kuwepo sasa gentleman π€£
usiwaze kitumwa gentleman
nikuhakikishie tu,Labda asilimia 70 ya wewe na hiyo familia yako alafu huu muandiko wako wewe ni mwenetu Mwamshamba wewe haya tuko pamoja " ndugu Mtanzania"π€£π€£
Unapita vituoni kujionea mahudhurio ya wanaojiandikisha au unaangalia takwimu za kupikwa ongea na wenzako hali mbaya hukunikuhakikishie tu,
hadi kufikia hiyo tar 20 yaani jpili, zoezi litakua limefikia lengo la 100% bila mbambamba yoyote π
sasa mbona unabweka bweka pembeni wakati wanja huru wa demokrasia uko wazi na unaogopa hata kujiandikisha tu π€£mimi niwe kiongozi mbona patachangamka!
kiongozi nikiwa mimi abadani mmeyakanyaga kwanza nitabadili wimbo hata wa taifa maana ule umepoa hauchezeki hata kwa style za amapiano!..π€£
Unapita vituoni kujionea mahudhurio ya wanaojiandikisha au unaangalia takwimu za kupikwa ongea na wenzako hali mbaya hukunikuhakikishie tu,
hadi kufikia hiyo tar 20 yaani jpili, zoezi litakua limefikia lengo la 100% bila mbambamba yoyote π
kama unadaftari la kujiandikisha linatoa hela niite ila kwenda kumpigia mtu kura akapate kura aje atule hela zetu hii hapana, kwanza hilo daftari likowapi litunzeni nikilikamata nalichana!sasa mbona unabweka bweka pembeni wakati wanja huru wa demokrasia uko wazi na unaogopa hata kujiandikisha tu π€£
hizo ni fikra za kizamani gentleman π€£kama unadaftari la kujiandikisha linatoa hela niite ila kwenda kumpigia mtu kura akapate kura aje atule hela zetu hii hapana, kwanza hilo daftari likowapi litunzeni nikilikamata nalichana!
Kura ndani ya box siyo zinazoamua Nina awe mshindi. Inategemea nani anahesabu na nani anatangaza.ikiwa ni kupoteza muda ifike mahali basi pasiwepo na hali ya kulalamika kupita kiasi kwa walioshiriki zoezi hilo na kupewa dhamana ya uongozi. Wanachokifanya ndicho wengi wameamua kiwe hivyo kupitia sanduku la kura, waliona ni kupoteza muda kiwewe kisiwepo basi..
akina nani hao waliopangwa na wanajulikana ndugu mdau?
Infact mpaka sasa,
zoezi la kujiandikisha kwajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa limeenda vizuri mno katika maeneo mengi ya nchi. Huu ni mchakato, yawezekana kuna dosari na kasoro ndogo ndogo katika maeneo fulani fulani.
Hata hivyo,
hiyo haizuii hata kidogo zoezi kukamilika na uchaguzi kufanyika Nov27.2024.
Nadhani mpka sasa zaidi ya 70% ya waliotarajiwa kujiandikisha tayari tayari wamejiandikisha π
Unajufariji wewe hali mbaya mpaka mnachukua watoto wa shule wakaokoe jahazi we andika kishabiki tu hapa ila iwe taa nyekundu kwenu mbele kubayandiyo maana iliyosalia ni 30% tu ulitaka ukute watu wengi kiasi gan gentleman?π
kama haileti hela haina tija kwangu!,kwanza mi naonaga tungeuza nchi tukagawana hela!hizo ni fikra za kizamani gentleman π€£
kwamba eti nikishiriki maandamano utanipa nini? utalipwa nini sasa zaidi ya virungu vya polisi?π
sio lazima umpigie mtu mwingine kura, unaweza kugombea na ukajipigia kura mwenyewe gentleman, ni rahisi sana mambo haya π
sina haja ya faraja wala huzuni gentleman, na ili iweje kwa mfano π€£Unajufariji wewe hali mbaya mpaka mnachukua watoto wa shule wakaokoe jahazi we andika kishabiki tu hapa ila iwe taa nyekundu kwenu mbele kubaya