Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hakuna mtu anayejitambua ataendelea kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi. Tumefikia mwisho wa kura zetu kuchezewa ili kuiweka ccm madarakani kwa shuruti. Tumewakataa kwa njia ya kura hamsikii mnazidi kuiba kila tukijitokeza kushiriki, acha tusitokee kwenye huo upuuzi ili mjue tumewachoka dhahiri.Nani huyo asie heshimu kura yako hali ya kua una haki na fursa ya kuilinda na kuidai kikatiba?
hiyari yako iwe ni haki na uhuru wako pekeyako, na isiwe usumbufu wala bugudha kwa wengine watakao amua mustakabali wa uongozi wa eneo unaloishi kwa niaba yako..
watakao chaguliwa waheshimiwe na wananchi wote π
Ni aidha machafuko au mapinduzi ya kijeshi ili heshima ya box la kura irejee. Na huu ni mwanzo tu, zoezi la uchaguzi mkuu ndio hamtaona watu kabisa.