Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mailimoja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Its so amazing kwamba mnakaa sehemu moja lakini kutokana na utambulisho bandia mnakuwa hamfahamiani kabisa... Halafu kinatokea kitu kidogo sana lakini chenye uzito wake.. Kisha mnafahamiana...
Mimi ni mkazi wa Msata kilingeni lakini muda mwingi huwa niko Mlandizi na Kibaha... Hebu tutoeni hofu tufahamiane kuna mengi ya kushirikishana.
Jr[emoji769]
😂😂😂Tatizo masnitch wengi siku hizi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Backyard tukutane hapo jioni
Jr[emoji769]
Mi sipo hukoo kakaLocation?
Jr[emoji769]
Niko mkoan kwa Sasa baadae nitakuwa maeneo ya msikiti wa alqaeda pale Kuna pubWapi iyo
Jr[emoji769]
Kibaha kwa Mfipa!Its so amazing kwamba mnakaa sehemu moja lakini kutokana na utambulisho bandia mnakuwa hamfahamiani kabisa... Halafu kinatokea kitu kidogo sana lakini chenye uzito wake.. Kisha mnafahamiana.
Mimi ni mkazi wa Msata kilingeni lakini muda mwingi huwa niko Mlandizi na Kibaha... Hebu tutoeni hofu tufahamiane kuna mengi ya kushirikishana.
Jr[emoji769]
Ok ukifika Ni pm hapo upate bia nduguKesho Jumapili nitakuwa hapo
Jr[emoji769]
Nlitoka huko mwaka jana mwez May, now npo huku katkat ya jiji.Location?