Kwa hyo sisi ndo tunajua usokijua, Kivipi?!Hello.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa msomaji wa comments jamiiforum.
Leo nimeamua kujiunga Rasmi.
Niambie kipi nizingatie.
Kipi unahisi sikijui kuhusiana na Jamiiforum.
Hawezi kupewa ban ya milele huyo, he's very influential humu JF sema tu tabia yake ya utukanaji ndio inamshushia hadhi ila Ni jamaa mpoa sana
Haya imepita kaka.Hawezi kupewa ban ya milele huyo, he's very influential humu JF sema tu tabia yake ya utukanaji ndio inamshushia hadhi ila Ni jamaa mpoa sana
Hapo umeniuliza swali au question?!Umeishia la ngapi?au matokeo ya jana umepata ngapi ?
Haha we ni mgeni kweli? Au back upAsante.
Mahondow sijui mahonda Yuko wapi jamani
Mim mzito sana labd kama unanyanyua vyuma sawa na uzito wangu.Tuliza mshono.,ondoka upesi kwa hii thread
Utajifunza jinsi muda unavyokwenda. Ukikosea, ambapo ni nadra Sana, kwani hakuna ugumu wowote, utapata msaada.Hello.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa msomaji wa comments jamiiforum.
Leo nimeamua kujiunga Rasmi.
Niambie kipi nizingatie.
Kipi unahisi sikijui kuhusiana na Jamiiforum?
Hivi limefutwa ama limited entry?Jukwaa la wakubwa, umekuta limeshafutwa.
Mgeni gani day 1 unafoka?Tuliza mshono.,ondoka upesi kwa hii thread
Mhh we mtu wa zamani in ID mpyaHaliko
Kwani mimi nikimwashia moto [emoji91] kipi kitanikuta?