Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unatoa zile thread za mbususu ama hakika utapata likes na comment nyingi sanaHello.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa msomaji wa comments jamiiforum.
Leo nimeamua kujiunga Rasmi.
Niambie kipi nizingatie.
Kipi unahisi sikijui kuhusiana na Jamiiforum.
Jukwaa la wakubwa, umekuta limeshafutwa.Hello.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa msomaji wa comments jamiiforum.
Leo nimeamua kujiunga Rasmi.
Niambie kipi nizingatie.
Kipi unahisi sikijui kuhusiana na Jamiiforum.
KukulanaMbususu ndo nini jamani!?
jamaa kila siku lazima ale ban.Kuna mwamba humu anaitwa Gentamycine, Huyu Kama huna mbavu za kutukanana naye tafadhali pita kushoto😂
Wivu wa nn tena jf bla bla bla nyingiUna wivu eh.
Huyo kashashindikana humu na mitusi yakeAna ban.
Hana swaga.
Namuona Mjuaji fulani hivi.
Shabiki wa simba.