JF kuna mambo... Kumbe ni Dume lenzako

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Sisi ambao tuna pupa na uroho wa wadada wa humu ndani hivi ita kuwaje siku tukigundua kuwa mdada unayechat naye kwenye pm huku ukiamini fika kuwa ni mwanamke kumbe ni lidume lenzako??
 
Unamheshimu kwakukuingiza mjini bila wewe kujua!
Hivi unaweza kuamini pm au keyboard? Kuna keyboard ya kike au kiume? Watu kwa kupenda avatar ni noma.
 
Hivi unadhani kila mtu ni mwanaume rijali humu ndani???!! Angalia Mkuu utakuja ibuka na mashoga :roll:
 
Hivi unaweza kuamini pm au keyboard? Kuna keyboard ya kike au kiume? Watu kwa kupenda avatar ni noma.
Jamani Bigie..nianze kuangalia hizi PM kwa macho matatu?Naanza kwa kuitilia yako mashaka!
 
Kuna binti alikuwa akinieleza kuwa yuko Mombasa, kumbe ni shoga bwana, nilifunga safari hadi huko baada ya maongezi kunoga hapa JF na kwenye simu.
 
Kuna binti alikuwa akinieleza kuwa yuko Mombasa, kumbe ni shoga bwana, nilifunga safari hadi huko baada ya maongezi kunoga hapa JF na kwenye simu.
Pamoja na kuongea nae bado hukujua sio mwanamke!?Job true true!
 
Sisi ambao tuna pupa na uroho wa wadada wa humu ndani hivi ita kuwaje siku tukigundua kuwa mdada unayechat naye kwenye pm huku ukiamini fika kuwa ni mwanamke kumbe ni lidume lenzako??



mwanamke utamgundua tu kaka kadri mtakavyokuwa mnachati,
asili haifichiki ndugu yangu!!!
 
Kuna binti alikuwa akinieleza kuwa yuko Mombasa, kumbe ni shoga bwana, nilifunga safari hadi huko baada ya maongezi kunoga hapa JF na kwenye simu.

Mombasa?!!!
Wangekufanya vibaya wewe huko
 
Kuna binti alikuwa akinieleza kuwa yuko Mombasa, kumbe ni shoga bwana, nilifunga safari hadi huko baada ya maongezi kunoga hapa JF na kwenye simu.

Umeanza tayari haya bana
 
Pamoja na kuongea nae bado hukujua sio mwanamke!?Job true true!

si ndio hapo chacha,
mi nadhani mwanamke utamgundua tu,
kuna vitu fulani lazima atateleza tu, na
itajionyesha live!!!!!!!!!
 
Hivi unaweza kuamini pm au keyboard? Kuna keyboard ya kike au kiume? Watu kwa kupenda avatar ni noma.

mkuu hapo umenena,naona watu wanamalizana na avatar kwa kudhani ndo uhalisia wa mtu mwisho wa siku kutakuwa na kukimbiana hapa
 
si ndio hapo chacha,
mi nadhani mwanamke utamgundua tu,
kuna vitu fulani lazima atateleza tu, na
itajionyesha live!!!!!!!!!
Mwenzio mpaka sauti kadanganywa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…