JF ladies mnaweza?

ni rahisi kwa kuzungumza tu ila kiutendaji....mmh!
Kwakweli bora ajinunulie mwenyewe akirudi nidhamu iwepo kama kawa.

Hiyo ndo point my dear, mengine nikukoseshana amani bure.
 
that's a NOOOOOO way thing siwezi muacha mme wangu aende huko alaf kama nitakuwa ni mempa inspiration by giving him condoms. its a big noooooooooooooooooo
 
Hiyo ni kali, kweli nimeamini wanadamu wote hatufanani maana mi suwezi kufanya hivyo maana sitakuwa na amani uku nyumbani.
Ila akiondoka bila 'zana' utakuwa na amani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…