JF Maintenance: Feb 2010

JF Maintenance: Feb 2010

Masanio; ulikuwa una-attach file kubwa sana; over 20MB. Napunguza ukubwa wa file hilo kisha nakutumia kwenye email yako.

Wakuu; tuwieni radhi kwa usumbufu uliojitokeza. Ni bora utokee mara moja kisha usababishe ufanisi zaidi. Naamini mtaona performance zaidi.

Meanwhile, kama tulivyosema awali, bado tunapokea maoni yenu juu ya nini kiboreshwe JF. Kuna features mpya zinakuja; members (registered) wataweza kuwa wana-chat mmoja kwa mwingine (kama ilivyo kwenye facebook), bado tunalifanyia kazi. Tunatarajia kuzindua interface mpya ya JF mnamo March Mosi.

Aidha; mwonekano mpya wa JF utaweza kuwarahisishia wengi (hasa waliojisajili) kuweza kupata options za kufanya mengi. Blogs zitawekwa, kwa wale waliokuwa wanatumia blogspot tunaweza kuwasaidia kuhamisha blogs zao kuja kwetu, tunatengeneza daraja (bridge) la kuvusha blogs zao.

Kutokana na kazi tuliyokuwa tunafanya ndio maana kuna downtime inatokea; hii haitachukua zaidi ya wiki mbili, tupo kwenye hatua za mwishomwisho.

Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu na ushirikiano wenu

Ndio maana kuna kipindi mara ka JF sikapati,mara kamerudi,nikahisi labda kale kajidudu kanakosababisha maradhi ya kisasa kametembelea pc yangu,anyway till now iam doing great.Kazi njema.
 
Mwambie Kikojozi aka Masanilo asilete picha kule kwenye sports kama ni hizo usimsaidie teh teh Khe khe khe khe mambo ya Bridge wapi na wapi bana.

Hahahaah nilisha kuweka kwenye ile list.....unabahati nimekutoa Mbu aliniomba sana hahahahahahahah Jumapili unanyamaza nyamafu weeee
 
Hahahaah nilisha kuweka kwenye ile list.....unabahati nimekutoa Mbu aliniomba sana hahahahahahahah Jumapili unanyamaza nyamafu weeee

Wacha kamba wewe ati uliombwa na mbu. Ngoja kwanza niongee na max.
 
Ndio maana kuna kipindi mara ka JF sikapati,mara kamerudi,nikahisi labda kale kajidudu kanakosababisha maradhi ya kisasa kametembelea pc yangu,anyway till now iam doing great.Kazi njema.
Hapana; wengi walinipigia simu na kutuma mail, hilo lilionyesha wengi walikuwa wanajua wapi watafute suluhisho la tatizo kwa haraka, naamini kila mmoja nilimjibu akanielewa. Najua wengi hawakuwa online wakati tunatoa taarifa hii.

Lakini kwa sasa system iko stable.
 
Hapana; wengi walinipigia simu na kutuma mail, hilo lilionyesha wengi walikuwa wanajua wapi watafute suluhisho la tatizo kwa haraka, naamini kila mmoja nilimjibu akanielewa. Najua wengi hawakuwa online wakati tunatoa taarifa hii.

Lakini kwa sasa system iko stable.

I can see it sir.Ubarikiwe sana.
 
Wacha kamba wewe ati uliombwa na mbu. Ngoja kwanza niongee na max.

Hivi wewe kiumbe una ID ngapi? Mkono mtupu haulambwi ....ukiongea na Max mwambie akuelekeze namna ya kuchangia JF usipende free ride!
 
Hivi wewe kiumbe una ID ngapi? Mkono mtupu haulambwi ....ukiongea na Max mwambie akuelekeze namna ya kuchangia JF usipende free ride!

.....Hilo neno Mzenj!

BWT: ile bifu ya darajani na bunduki mnaendeleza hadi huku?
 
.....Hilo neno Mzenj!

BWT: ile bifu ya darajani na bunduki mnaendeleza hadi huku?

HAhahaah Max Mkorofi sana nilitegemea Jumapili afanye maintenance ya JF ! Amewahi leo hahahahaha dogo hajachangia hata JF anachonga tu!
 
Kumbe kulikuwa na katizo? sina habari bana. Nimeingia tu naona mambo bomba tena leo inafunguka haraka kweli maana ilishaanza kuwa slow. Thanks to jf crew
 
Hivi wewe kiumbe una ID ngapi? Mkono mtupu haulambwi ....ukiongea na Max mwambie akuelekeze namna ya kuchangia JF usipende free ride!


Nani alikwambia mimi naingia na free ride, uliza kwanza uambiwe, hata hivyo natanguliza rambi rambi kabla ya jumapili. Si unajua yule nyang'au ops alifungia ile ID ya Wacha kwa hiyo niliingia na Wacha1 na Wacha1 ame-prove kuwa hatari anapokutana na Mafioso.

BTW badili hiyo Avatar ya kikojozi.
 
Nani alikwambia mimi naingia na free ride, uliza kwanza uambiwe, hata hivyo natanguliza rambi rambi kabla ya jumapili. Si unajua yule nyang'au ops alifungia ile ID ya Wacha kwa hiyo niliingia na Wacha1 na Wacha1 ame-prove kuwa hatari anapokutana na Mafioso.

BTW badili hiyo Avatar ya kikojozi.

Acha kuchonga, kama vipi changia kwa hii uliyonayo sasa! watu makini huchangia .....nimenunua sanda ya Jumapili heheheheehh anyway nitakuwa safari nitaangalizia kwenye iPad yangu.
 
Acha kuchonga, kama vipi changia kwa hii uliyonayo sasa! watu makini huchangia .....nimenunua sanda ya Jumapili heheheheehh anyway nitakuwa safari nitaangalizia kwenye iPad yangu.

Mimi hata nikichangia huwezi kuona jina langu. Kama huamini muulize jamaa atakwambia. I still want to remain anonymous kwenye mambo ya pesa vile vile nafikiri nipo katika watu wachache sana ambao tulikuwa na wasiwasi na maendeleo ya hapa. Case CLOSED usimwage mtama ... .... ...
 
Leo ndo tumemalizia wakuu...

Tunaomba SANA radhi kwa usumbufu uliojitokeza!
 
Back
Top Bottom