JF Mchana Kutwa.

JF Mchana Kutwa.

Wakuu,

Wengi tupo tunakua na mahangaiko ya kusaka pesa wakati huu wa mchana.

Mimi mida kama hii nakua nimetoka lunch, napata kahawa na kashata au chai ya asali na mdalasini huku nikitafunia na karanga then narudi kazini kuendelea na harakati za kudeal na clients wangu.

Wakati huu wa mchana wewe upo wapi, unafanya nini..?
Asali, mdalasini na karanga bila shaka unaboost nguvu zetu pendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Wengi tupo tunakua na mahangaiko ya kusaka pesa wakati huu wa mchana.

Mimi mida kama hii nakua nimetoka lunch, napata kahawa na kashata au chai ya asali na mdalasini huku nikitafunia na karanga then narudi kazini kuendelea na harakati za kudeal na clients wangu.

Wakati huu wa mchana wewe upo wapi, unafanya nini..?
Lunch
Kahawa
Kashata
Karanga
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom