JF member leo share weakness yako hapa

Na dharau Sana hasa Kwa MTU aliyevaa nguo za rangi ya kijani na njano
 
Kamwe siwezi uza ramani ya vita[emoji23][emoji23] hiyo ni siri yangu
 
One of my weaknesses maana mie nikiingia club kazi ni moja tu usiku wote niko dancing floor na kama DJ anajua kuzipanga debe halafu nina mrembo anajua kudance na anapenda kudance KIRUUUUUUU! 😜
Mwanamke awe anajua na kuimba sasa, aiseee nakufa mie. 😁😁
 
Reactions: BAK
Kila mtu ana weakness yake sasa ebu tuseme leo tuone kama hivi vitu huwa vinafananaga kwa wengi..
Mimi bhana weakness yangu ni churaaa yani churaaa nikipishana na mkia haswaa lazima nigeuke nyuma niutathmini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…