π³π³π π π
Wacha weee
Vice versa is trueMwanaume asiye na pesa jaman...[emoji56][emoji56][emoji56][emoji182][emoji182][emoji182]
[emoji16][emoji16] mwambie aje tuanze maisha mapyaKENZY njoo huku malaika kashuka duniani
@KENZY [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kudadeqHiyo ndo ile mizimu ya zimwi likujualo halikuli likakwisha! Dada hapo mi siendi..[emoji1787][emoji1787]
Huyo malaika akamalaikie huko..
Atanikumbuka [emoji1787][emoji2090]Kwahiyo blaza unatupa fuko la fweza
Njoo ulimwengu mpya KENZY ake [emoji2]Jisjzg aogshj wlsvsn ksjs n heri lawama kuliko fedheha..[emoji1787]
Hujapata yenye joto au ya mnato [emoji85][emoji2090]nachelewaga kukojoa kwenye game, sijui kwanini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona unabashiri vitu sio?Vice versa is true
Upo mahala salama kabisa ...nikikutemesha nyongo naomba ukanishtaki [emoji16]Hapa kweli sitatemeshwa nyongo hapa!..[emoji28]
Mwanamke awe anajua na kuimba sasa, aiseee nakufa mie. ππOne of my weaknesses maana mie nikiingia club kazi ni moja tu usiku wote niko dancing floor na kama DJ anajua kuzipanga debe halafu nina mrembo anajua kudance na anapenda kudance KIRUUUUUUU! π
Ha ha! Nitakushtaki vipi wakati unakuta hapo sipumui..!πUpo mahala salama kabisa ...nikikutemesha nyongo naomba ukanishtaki [emoji16]
we are the same... mimi na kuamini watu kirahisi... πHuruma kupita kiasi hichi kitu kina nitesa sana.
Kila mtu ana weakness yake sasa ebu tuseme leo tuone kama hivi vitu huwa vinafananaga kwa wengi..
Mimi bhana weakness yangu ni churaaa yani churaaa nikipishana na mkia haswaa lazima nigeuke nyuma niutathmini.
[emoji16][emoji16] ulizo la nini jaman? Mbona unaweka vipingamizi vingi?Ha ha! Nitakushtaki vipi wakati unakuta hapo sipumui..![emoji23]
Dada wewe unamaneno mpk naweka ulizo kubwa..[emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwani uzi ulikwambia unabanwa na pumzi