JF member leo share weakness yako hapa

JF member leo share weakness yako hapa

Kila mtu ana weakness yake sasa ebu tuseme leo tuone kama hivi vitu huwa vinafananaga kwa wengi.

Mimi bhana weakness yangu ni churaaa yani churaaa nikipishana na mkia haswaa lazima nigeuke nyuma niutathmini.
Uchawi na kuroga
 
Napenda sana na hili suala limeshanigharim sana, sikuhiz ht nikipenda sipend mtu ajue kuwa nmekufa kbsa kwake
 
Nikiona mtu anapitia mazingira magumu huwa navaaga viatu vyao..najikuta napata huzuni mno machozi hunimwagika.niko tayari kumpa chakula nikalala na njaa.

Ndoto yangu kubwa mnoo na ni namuomba Mungu anisimamie katika hili,,ni kuweza kuwasaidia watu wenye uhitaji.


[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]kama hujapitia shida na magumu huwezi Elewa.

Sorry nimeweka mada zaidi ya moja sehemu moja
Ameeeni
 
Mtu akinielezea shida yake,kama nina hela hata kama nilipanga kufanyia jambo fulani huwa nashindwa kujizuia kutomsaidia.......hata nifanyeje nitamsaidia tu kwa kiasi nitakachoweza ila kumpotezea 100% nashindwa
 
Mkusanyiko wa watu.
Yaan mie sehemu yenye watu kuanzia 4 siwezi kaa.
 
Mi nikiona mdada kakaa vibaya halafu kachanua mapaja bahati mbaya halafu kavaa chupi nyeupe ile uke wake unaonekana kama V au sambusa aisee nikipita mtaa huo ujue nazunguka nyumba yake halafu narudia njia hiyohiyo mpaka abane mapaja hili huniumuza mnoooo mpaka nashindwa kutembea sawasawa.
 
Wakati naanza maisha 2004 niliwahi kukosa kazi tigo na coca kwasababu.

1. Coca nilichelewa interview kiss kuangalia mapaja.

2. Tigo niliemchungulia Leo kesho yake ndio anaongoza interview na alinikumbuka maana aliyabana ghafla alipoona nimemuona.
 
Mi nikiona mdada kakaa vibaya halafu kachanua mapaja bahati mbaya halafu kavaa chupi nyeupe ile uke wake unaonekana kama V au sambusa aisee nikipita mtaa huo ujue nazunguka nyumba yake halafu narudia njia hiyohiyo mpaka abane mapaja hili huniumuza mnoooo mpaka nashindwa kutembea sawasawa.
Tabia mbaya sana hiyo! Sasa why unashindwa kutembea sawa sawa?😀😀
 
Tabia mbaya sana hiyo! Sasa why unashindwa kutembea sawa sawa?😀😀
Boxa inakuwa imesimama sio tabia mbaya kwasababu Mimi ni kiumbe hai na moja ya sifa zake ni kuitikia vichocheo. Mdada utakuta ana upaja laaiiiiiiiiini kajipanua anaosha vyombo nisiangalie kwann
 
Boxa inakuwa imesimama sio tabia mbaya kwasababu Mimi ni kiumbe hai na moja ya sifa zake ni kuitikia vichocheo. Mdada utakuta ana upaja laaiiiiiiiiini kajipanua anaosha vyombo nisiangalie kwann
Aisee😀😀 sasa kama ukiangalia Boxer inasumbua si ndiyo ujiepushe na hayo mazingira yaani pita mbali ili usipate tabu. Duh wanaume mna mambo sana😀😀
 
Back
Top Bottom