Kumbe hizi mambo za wingi wa likes vijana huwa wanazipa uzito wa hali ya juu sana.....!!!??
Maana naona vijana wanavyoparuana kwa kutoonekana kwenye hizo list....!!!
!
!
Mimi jeh.... Hii post ingezingatia muda wa mtu kuwa member... Yaani ingekuwa average ya likes kwa siku, au average ya comment kwa siku. Sasa lijitu liko humu tangu tisini na nane.. Umshindanishe na mimi ambaye niko humu tangu may be 2005 kwelii???