Kuna @malariasugu, SomocheKwa wahenga wa jf hawata jiuliza maswali mengi wakusikia hayamajina.
Chabruma, Lizaboni, Mcubic, Msalan.
Hawa watu walikuwa ni wapiganaji wa kweli wa ccm ,ukimuondoa Mcubic ambaye alikuwa upande wa upinzani.
Ni muda mrefu sasa hatuwaoni jamvini hivyo basi naomba mwenye habari zao tujulishane jamani.
Sina zaidi ya hayo wana familia wa jf.
Nipo Sana MKUUPia hata wewe mkuu umeadimika sana bila kumsahau mzee wetu mzizi mkavu
Chabruma ndio mlizaboniKwa wahenga wa JF hawata jiuliza maswali mengi wakusikia hayamajina.
Chabruma, Lizaboni, Mcubic, Msalan...
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Wangari yupo?