Mimindoyulejamaamkatili
Member
- Sep 8, 2021
- 36
- 31
Kigogo2014 ndo alipigwa life ban nilikuwa nimesahau nikasema 2020Kwani kigogo aliwahi kuwa mwana jf?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigogo2014 ndo alipigwa life ban nilikuwa nimesahau nikasema 2020Kwani kigogo aliwahi kuwa mwana jf?
Nipo, ingawa sasa hivi nimepunguza michango hapa kwa sababu naandika kitabu.Duuuu mkuuu umeona heri utuondoe wasiwasi
Wangari MaathaiWangari yupo?
Ndio huyoWangari Maathai
John thepatist kaangukiwa na kitu kizito kichwani baada ya bei ya wese kupanda,Hadi amepaki kale kamkweche kwake, ukimwona mtaani anapiga Moja mbili kuelekeza kijiweni kwake utamwonea huruma🚶johnthebaptist mleta uzi masaa 24 naye haonekani
John thepatist kaangukiwa na kitu kizito kichwani baada ya bei ya wese kupanda,Hadi amepaki kale kamkweche kwake, ukimwona mtaani anapiga Moja mbili kuelekeza kijiweni kwake utamwonea huruma[emoji124]