JF members hawa wako wapi? Tunakosa michango yao

JF members hawa wako wapi? Tunakosa michango yao

johnthebaptist mleta uzi masaa 24 naye haonekani
John thepatist kaangukiwa na kitu kizito kichwani baada ya bei ya wese kupanda,Hadi amepaki kale kamkweche kwake, ukimwona mtaani anapiga Moja mbili kuelekeza kijiweni kwake utamwonea huruma🚶
 
Operation is over now,
na sasa wamegeukia kwenye operation nyingine ,

Ongezeko la wadada kutafuta wachumba JF.

Isije ikawa ndy hawa wasiojulikana,
Usiwaamini Sana wanawake wanaotafuta wachumba wako kimkakati.
 
Leo angeshusha nyuzi kama 50 za Chadema
John thepatist kaangukiwa na kitu kizito kichwani baada ya bei ya wese kupanda,Hadi amepaki kale kamkweche kwake, ukimwona mtaani anapiga Moja mbili kuelekeza kijiweni kwake utamwonea huruma[emoji124]
 
Back
Top Bottom