Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
- Thread starter
-
- #21
Ulisikia wapi 😡hawa vijana wa kanda ya ziwa lazima wafokewe
Nimesafiri kuja Arusha..kama ni Mkolani nenda hata hapo Mamizi kapate moja baridi moja motoHabari ndugu, jamaa na wapendwa
Nimekuja Mwanza kidogo, lengo la theard nilikuwa naomba kufahamiana na baadhi ya members humu, tufahamiane baada ya kuishi na fake identification sawa
Nipo maeneo ya Mkolani Kati. Karibu sana kwa wanahitiji tuonane. Nipo leo na kesho narudi nilipo toka.
Asante sana mkuu hiyo huwa situmii Mimi yangu juisi soda Maji na maziwa fresh vipoNimesafiri kuja Arusha..kama ni Mkolani nenda hata hapo Mamizi kapate moja baridi moja moto
Asante mkuu vipi uko pande zipi lakini 😆Karibu
Maduka 9Asante mkuu vipi uko pande zipi lakini [emoji38]
Sawa mkuu napapata karibu na kanisa la romaMaduka 9
YapSawa mkuu napapata karibu na kanisa la roma
Ndio home nini au kwa shemejiMaduka 9
KwanguNdio home nini au kwa shemeji
Vipi muda juu inawezekana kuonana unapotaka.Kwangu
Cutelove mambo?
Wew uko wapVipi muda juu inawezekana kuonana unapotaka.
Kwa sjaliCutelove mambo?
Na mimi nakuja mwanza,,naomba basi unitafutie sweta la Tanzania nijikinge na baridi..
I'm kidding
Mkolani darajaniWew uko wap
Nimefikia maeneo ya nyanembeWew uko wap
Go inboxNimefikia maeneo ya nyanembe
OkayGo inbox