JF members tunafahamiana?

JF members tunafahamiana?

Heheheheheeee hata sisi hatutaki kufahamiana na wewe kenge mwenzetu.
wewe nitafanya chini juu nikufahamu maana kukujua itakuwa ngumu.. Nitatumia hata manuva ya kule kwetu Tanga
 
Mimi kuna watu wanajifanya kunifahamu fahamu sana humu....nitawacalliba
 
Kujuana juana kunaleta mazoea na mazoea ndiyo yanaleta dharau....bora tusijuane...hata na sisi wabeba zege tupate heshima zetu.....
Bora tukae bila kujuana aiseeee....
Naunga mkono hoja aiseeee....
Hata sisi wa ushirombo tuta heshimika aiseeee.....
 
Back
Top Bottom