'JF members Tunajua sana kuhamasisha behind of PC, tablet, phones but kwenda kwa ground

'JF members Tunajua sana kuhamasisha behind of PC, tablet, phones but kwenda kwa ground

Ape man haueleweki.
But maybe it is because you are an ape.
Lakini kama unasema unapinga watu kuwa anonymous, that is wrong.
People have got the right to be anonymous.
 
Katika sifa 10 za mtanzania moja wapo ni unafiki

Lakin pia mm huna ni muumini wa neno automatic huna naamini mambo meng mda wake ukifika yatafanyika tu haina na wala hutakua hakua haja ya kuhamasishana sku watu wakichoka wataamka wao wenyewe na kuingia barabaran bira ata hamasishwa

Tusipende sana kuforce mambo mda ukifika kila kitu kitafanyika automatic tu
 
Ni wachache sana wapo really ila wengi deep down ni wanafiki..

Bila kujua maisha hayaendi hivo be really sio mtu wa kutaka kuonekana wa level flan kumbe matatizo matupu..
 
Embu tupe na mfano tumjue ni nani yuko front kuhamasisha ila ground hatokei,

Alafu aliekutuma mwambie hukutupata,
Tujuane ili nini kitokee?
 
WHY?
1. Matumizi ya nicknames ili kuficha identities zao while wa akina Maria Sarungi wakitumia taarifa zao halisi Katika account za mitandao yao katika kutema nyongo na kusema ukweli dhidi ya akina Serikali, keybody warriors wanaibuka na kuponda wengne kudharau. sasa tutachange utaratibu kupitia mods tutajuana tu.

2. Tunajua sana kuhamasisha behind of PC,TABLET, PHONES but kwenda kwa ground tunagwaya,this is for both side mana hata Mbowe aliachwa peke yake lakini wapo humu kwa forums kujifanya wanajua sana kuelezea "cowarders' af kwa ground hamna kitu ..

NB. TUACHENI UNAFIKI.
Wengi hatuna vyanzo vya taarifa fiche, kukosoa inahitaji uwe na vyanzo mahsusi vya taarifa unazokosoa, halafu wengi humu tunajiturumua tu hatuna uwezo kiushawishi/ fedha mara tu changamoto na dola zitakapojitokea, kuwaiga kina maria, fatma ni ujinga maana wao kwa ground kuna vitu vinawalinda,sasa wewe toka namtumbo huko njoo uvamie watawala wanakupoteza, angalia vijana waloiopotea kina saanane ,wengi background yao hawajatoka familia zenye ushawishi,kupotea ni sekunde tu! Lissu mwenyewe yalimkuta.
 
Muangalie mnafiki wenzako mwambie mimi ni shujaa.
 
WHY?
1. Matumizi ya nicknames ili kuficha identities zao while wa akina Maria Sarungi wakitumia taarifa zao halisi Katika account za mitandao yao katika kutema nyongo na kusema ukweli dhidi ya akina Serikali, keybody warriors wanaibuka na kuponda wengne kudharau. sasa tutachange utaratibu kupitia mods tutajuana tu.

2. Tunajua sana kuhamasisha behind of PC,TABLET, PHONES but kwenda kwa ground tunagwaya,this is for both side mana hata Mbowe aliachwa peke yake lakini wapo humu kwa forums kujifanya wanajua sana kuelezea "cowarders' af kwa ground hamna kitu ..

NB. TUACHENI UNAFIKI.
Jina lako nan mbona ww kama mnafiki
 
Usiende ( kwa) ground.
Watu wanasema unayoandika. Wakati mwingine wanayafanyia kazi.
Wakikwama,jirekebishe.
 
Back
Top Bottom