JF members wenye kingereza kizuri

Hapo kuna mmoja sina imani nae hajakomaa sana kuzungumza mbele ya mhadhara
 
Naona tunapimana imani kijanja janja tuanze kutema tensi za whom one, which na where

mkuu kausha bana, tusije umbuana kwa hii lugha maana wengine mpaka tulewe ndo kinakujaga.
 
Tunaomba waanze kuandika thread zao ndefu kwa kiingereza ili tuwafanyie assessment, siyo mistari miwili tu ....Yes Yes Yes.... Tayari wanajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…